Main Article Content
Kiswahili katika karne ya 20 : chombo cha ukombozi, utaifa na ukandamizaji
Abstract
(i) Jinsi historia ya watu wanaozungumza Kiswahili ilivyoathiri historia ya lugha hiyo
(ii) dhima ya lugha hiyo katika nyanja mbalimbali za maisha ya Waswahili na, yaani wale wote wanaozungumza Kiswahili barani Afrika, bila kusahau hadhi yake, dhana hizo mbili zikiingiliana na kutegemeana kwa namna fulani.
Mkazo utatiliwa hasa sehemu Kiswahili kilipoenea mwisho yaani Afrika ya kati. Upwa wa Afrika Mashariki umezungumziwa ya kutosha na ukitajwa itakuwa kama kweli ni muhimu.